Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
IDU haina ajenda hizo za NdumbaroAwaambie kabisa bwawa la umeme walikokuwa wanalipinga limeshakamilika.
Na Corona aliyokuwa anaipigia debe ilirudi ilikotoka
Mbowe analeta furaha nchini Tanzania , ni vicheko kila kona
Unadhani ni sisi basi , Dunia tu inatuamini mkuuChadema mnapenda kujitutumua.
Wajiriwa wanalia pesa zao ameshawalipa?!Hii ndio Taarifa mpya inayozunguka duniani hivi sasa
Hili hapa ndio Tangazo la IDU
----
The IDU is pleased that Freeman Mbowe, CHADEMA Party Leader will join us at the #IDUForum2024 Asia-Pacific in #NewZealand. Our support for democratic and free states does continue in any corner of the world!
🤣🤣🤣🤣 huu uchaguzi mdogo vipi mbona mmepoa sana.Unadhani ni sisi basi , Dunia tu inatuamini mkuu
Nje ya madaK
Wajiriwa wanalia pesa zao ameshawalipa?!
Anaogopa Uchaguzi 😄🔥Mbowe analeta furaha nchini Tanzania , ni vicheko kila kona
Mada si mbowe kuunguruma ila ajue kuna baba na mama za watu wanadai pesa zao yeye kama kiongozi wa upinzani mpinga dhuluma ayaishi hayo maisha kwa vitendo au unasemaje kiongozi!Nje ya mada
Jikite kwenye topic. Ccm mitandaoni mnapwaya sanaMada si mbowe kuunguruma ila ajue kuna baba na mama za watu wanadai pesa zao yeye kama kiongozi wa upinzani mpinga dhuluma ayaishi hayo maisha kwa vitendo au unasemaje kiongozi!
Dini zote mbili waumini wao wapo kwenye mfungo wewe bado unavuta bhangi tu!Jikite kwenye topic. Ccm mitandaoni mnapwaya sana
Hivi IDU watapiga kura 2025?Hii ndio Taarifa mpya inayozunguka duniani hivi sasa
Hili hapa ndio Tangazo la IDU
----
The IDU is pleased that Freeman Mbowe, CHADEMA Party Leader will join us at the #IDUForum2024 Asia-Pacific in #NewZealand. Our support for democratic and free states does continue in any corner of the world!
Swali Duni la mwezi !Hivi IDU watapiga kura 2025?
Bangi siyo chakulaDini zote mbili waumini wao wapo kwenye mfungo wewe bado unavuta bhangi tu!