Freeman Mbowe kutoa sadaka Maalum ya Shukrani Usharika wa Nshala Machame, Maandalizi ya Mapokezi yake yaanza jimboni Hai

Freeman Mbowe kutoa sadaka Maalum ya Shukrani Usharika wa Nshala Machame, Maandalizi ya Mapokezi yake yaanza jimboni Hai

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa kutoka Chadema inaonyesha kwamba Mwamba wa siasa za Tanzania Gwiji Freeman Mbowe anarejea nyumbani kwao Hai, Mkoani Kilimanjaro, kwa mara ya kwanza Jumamosi 19/03/2022, baada ya kushikiliwa gerezani kwa miezi 8 mfululizo, kwa tuhuma za uongo za Ugaidi.

Ratiba ya ujio wake Jimboni humo inaeleza kwamba Jumapili tarehe 20/03/2022, atatoa SADAKA MAALUM kwenye misa itakayofanyika kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame.

Tayari Moto wa Maandalizi ya Mapokezi yake umeanza kuwaka.

Jumamosi_tarehe_19.03.2022_%40freemanmbowetz_atakwenda_nyumbani_Hai_na_%0AJumapili_ya_tarehe_2...jpg
 
Taarifa kutoka Chadema inaonyesha kwamba Mwamba wa siasa za Tanzania Gwiji Freeman Mbowe anarejea nyumbani kwao Hai, Mkoani Kilimanjaro, kwa mara ya kwanza Jumamosi 19/03/2022, baada ya kushikiliwa gerezani kwa miezi 8 mfululizo, kwa tuhuma za uongo za Ugaidi.

Ratiba ya ujio wake Jimboni humo inaeleza kwamba Jumapili tarehe 20/03/2022, atatoa SADAKA MAALUM kwenye misa itakayofanyika kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame.

Tayari Moto wa Maandalizi ya Mapokezi yake umeanza kuwaka.

View attachment 2150197
Kkkt hawana misa, wana ibada zao ila sio misa
 
Taarifa kutoka Chadema inaonyesha kwamba Mwamba wa siasa za Tanzania Gwiji Freeman Mbowe anarejea nyumbani kwao Hai, Mkoani Kilimanjaro, kwa mara ya kwanza Jumamosi 19/03/2022, baada ya kushikiliwa gerezani kwa miezi 8 mfululizo, kwa tuhuma za uongo za Ugaidi.

Ratiba ya ujio wake Jimboni humo inaeleza kwamba Jumapili tarehe 20/03/2022, atatoa SADAKA MAALUM kwenye misa itakayofanyika kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame.

Tayari Moto wa Maandalizi ya Mapokezi yake umeanza kuwaka.

View attachment 2150197
GAIDI hadi atakapo jitetea baada ya kupatikana na kesi ya kujibu kutokana na ushahidi uliotolewa
 
Taarifa kutoka Chadema inaonyesha kwamba Mwamba wa siasa za Tanzania Gwiji Freeman Mbowe anarejea nyumbani kwao Hai, Mkoani Kilimanjaro, kwa mara ya kwanza Jumamosi 19/03/2022, baada ya kushikiliwa gerezani kwa miezi 8 mfululizo, kwa tuhuma za uongo za Ugaidi.

Ratiba ya ujio wake Jimboni humo inaeleza kwamba Jumapili tarehe 20/03/2022, atatoa SADAKA MAALUM kwenye misa itakayofanyika kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame.

Tayari Moto wa Maandalizi ya Mapokezi yake umeanza kuwaka.

View attachment 2150197
Just like his name, he is a Freeman!!
 
Taarifa kutoka Chadema inaonyesha kwamba Mwamba wa siasa za Tanzania Gwiji Freeman Mbowe anarejea nyumbani kwao Hai, Mkoani Kilimanjaro, kwa mara ya kwanza Jumamosi 19/03/2022, baada ya kushikiliwa gerezani kwa miezi 8 mfululizo, kwa tuhuma za uongo za Ugaidi.

Ratiba ya ujio wake Jimboni humo inaeleza kwamba Jumapili tarehe 20/03/2022, atatoa SADAKA MAALUM kwenye misa itakayofanyika kwenye Kanisa la KKKT Nshala Machame.

Tayari Moto wa Maandalizi ya Mapokezi yake umeanza kuwaka.

View attachment 2150197
Mungu ibariki CHADEMA
 
Back
Top Bottom