D DATAZ JF-Expert Member Joined May 25, 2012 Posts 3,799 Reaction score 10,196 Jan 14, 2025 #1 Hawa wawili Watakumbukwa kwa historia Moja ambayo ni kushinikizwa na wandani wao Ili "kuokoa mustakabali wa vyama vyao", Biden alikubali, chama kikapigwa hata kabla jua halijachwa. Democrats hiyooo, na Kamala wake ikala mzinga. Sasa ni zamu ya Mbowe aka MWAMBA aka DIPLOMAT, atafuata ya Biden, au atabaki kuwa MWAMBA? Yajayo yatafurahisha ama kusikitisha.
Hawa wawili Watakumbukwa kwa historia Moja ambayo ni kushinikizwa na wandani wao Ili "kuokoa mustakabali wa vyama vyao", Biden alikubali, chama kikapigwa hata kabla jua halijachwa. Democrats hiyooo, na Kamala wake ikala mzinga. Sasa ni zamu ya Mbowe aka MWAMBA aka DIPLOMAT, atafuata ya Biden, au atabaki kuwa MWAMBA? Yajayo yatafurahisha ama kusikitisha.