MWANAKASULU
Senior Member
- Nov 18, 2011
- 197
- 71
Leo J2 tar. 2/06/2013.saa sita na nusu Mchana katika ukumbi wa Hindu Mandal ulioko Moshi mjini Opposite na stand kuu ya Mabasi kutakuwepo na Mahafali ya wahitimu wa CHADEMA STUDEMA STUDENTS ORGANIZATION(CHASO).-mkoani Kilimanjaro.
Mgeni Rasmi ni Freeman Mbowe ataongozana na Mwenyekiti wa Bavicha John Heche, Katibu wa vijana Deogratius Munish, Jembe la Arusha Mjini G.Lema,Jembe la Arumeru Mashariki J.Nassari maarufu kama Dogo Janja,Jembe la Moshi Mjini kamanda F.Ndesamburo maarufu kama Ndesa Pesa na Waheshimiwa madiwani wote wa Moshi watakuwepo ndani ya nyumba.
Wahitimu watakao tunukiwa vyeti ni makamanda 205 kutoka vyuo vikuu 6 vilivyoko mkoani Kilimanjaro yaani KCMC,MUCCoBS,SMUCO compus zote ,MASOKA pamoja na Mwenge University.Lakini chuo kilichotoa wahitimu wengi kuliko vyote ni Mwenge University kilichotoa wahitimu 102.Shamlashamla ni kubwa sana kila kona ya vyuo tajwa na wanachi wote walioko ndani na nje ya mji wa Moshi wamekaribishwa kushuhudia tukio litakalo dumu kwa masaa 5.
''Mabadiliko yako mikononi mwako na Wewe ni sehemu ya Mabadiliko''.(Mahtima Gandhi).HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE.
Mgeni Rasmi ni Freeman Mbowe ataongozana na Mwenyekiti wa Bavicha John Heche, Katibu wa vijana Deogratius Munish, Jembe la Arusha Mjini G.Lema,Jembe la Arumeru Mashariki J.Nassari maarufu kama Dogo Janja,Jembe la Moshi Mjini kamanda F.Ndesamburo maarufu kama Ndesa Pesa na Waheshimiwa madiwani wote wa Moshi watakuwepo ndani ya nyumba.
Wahitimu watakao tunukiwa vyeti ni makamanda 205 kutoka vyuo vikuu 6 vilivyoko mkoani Kilimanjaro yaani KCMC,MUCCoBS,SMUCO compus zote ,MASOKA pamoja na Mwenge University.Lakini chuo kilichotoa wahitimu wengi kuliko vyote ni Mwenge University kilichotoa wahitimu 102.Shamlashamla ni kubwa sana kila kona ya vyuo tajwa na wanachi wote walioko ndani na nje ya mji wa Moshi wamekaribishwa kushuhudia tukio litakalo dumu kwa masaa 5.
''Mabadiliko yako mikononi mwako na Wewe ni sehemu ya Mabadiliko''.(Mahtima Gandhi).HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE.