Freeman Mbowe na Viongozi CHADEMA jiteteeni juu ya hoja hizi za kupotea kwa Ben Saanane


Soma kitabu cha Eric Kabendela pls
 
Achatukisome kitabu....tutapata cha kupata thenmuda utaamua....RiP wote waliouawa na watawala kisa siasa uchwara....ulebi madaraka
 
Hili la Saa8, hata yule aliyekuwa mbunge wa Ubungo na mmliki wa gazeti la Mwanahalisi, hawezi kununua makaratasi ya Kabendera, na hata Mbowe hawezi kununua hicho kigazeti

Kabendera hajui chochote, anapoza maumivu yake kwa uwongo na upumbuvu
 
Kutoka maktaba!
 
Lizaboni kapotelea wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…