Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unadhani hayo unayajua peke yako lengo langu ni kumtia moyo mbowe hayuko peke yake kamwe na hatakuwa peke yake.Ule ni wimbo wa mwanaume kumchombeza mwanamke na sio wa mwanaume kifariji mwanaume mwenzake. Loooh umeamua kumchombeza bwana mbowe?!
Bora hata ungemsindikiza na wimbo they don't care about us!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nakwambia kwa ujumbe wa wimbo hilo umefeli maana wimbo ni wa mapenzi. Umesikiliza au kusoma mashairi ya ule wimbo au umetazama biti?!Kwahiyo unadhani hayo unayajua peke yako lengo langu ni kumtia moyo mbowe hayuko peke yake kamwe na hatakuwa peke yake.
Wewe na familia yako mnarikiwe sana na Bwana. Bwana Mungu wa IsraelMh mbowe Sina zawadi ya kukupa Ila kwa upendo mkubwa Sana Mimi na familia yangu tulionao kwako tunakupa zawadi ya wimbo wa MICHAEL JACKSON ; YOU ARE NOT ALONE. Barikiwa.
Na sisi wana Liverpool tunamwambia..."you ll never walk alone"Mh mbowe Sina zawadi ya kukupa Ila kwa upendo mkubwa Sana Mimi na familia yangu tulionao kwako tunakupa zawadi ya wimbo wa MICHAEL JACKSON ; YOU ARE NOT ALONE. Barikiwa.
Hebu mpe title ya movie la kibabe apate hint afanyeje kama kidume sio tunyimbo twa kidenzi twa kuombea papuchi.Ndio nakwambia kwa ujumbe wa wimbo hilo umefeli maana wimbo ni wa mapenzi. Umesikiliza au kusoma mashairi ya ule wimbo au umetazama biti?!
Nyie ndio huwa mnapiga nyimbo za maombolezo kwenye maharusi ili bwana na bibi harusi wacheze bluzi...... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mna ID zinazoheshimika jf Ila mnaandika utumbo contrary to the way we believe who you are.Mwanamme wa kweli hadediketi wimbo wewe.
Maumau wangedediketi nyimbo tungekuwa wapi?
Hebu jipake pake marangi uende ghetto lake alipo kwa sasa ki Rambo Rambo uamshe dude ukomboe taifa.
Too bad I don't seek anyone's approval or respect.Mna ID zinazoheshimika jf Ila mnaandika utumbo contrary to the way we believe who you are.
I am going to take the high road on this one.What should I eat then ur vgn? Or I have a cucumber.