johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Dj huyo, mzee wa DEALTupo Hapa Mwananyamala Komakoma kwa Baharia Mani opposite na alipokuwa anaishi Makongoro Nyerere tukijadili Siasa za Nchi yetu
Kwa hakika Kati yetu Hakuna aliyewahi kufikiria Freeman atakuja Kuwa Mwanasiasa achilia Kuwa Kiongozi wa Chama kikuu Cha Upinzani
Tunajiuliza huyu Freeman Mbowe alitumia Mbinu gani kuwaingiza Chadema Mawaziri Wakuu wastaafu wawili Sumaye na Lowassa kwa wakati mmoja?!!
Kimsingi tunakubaliana Freeman ni Mwanasiasa mwenye maajabu yake nchini
Kama uko mitaa hii karibu upate kahawa tunamsubiri Meya Songoro
Baadae Mlale Unono [emoji3][emoji3]
Historia ya Mbowe inafanana na ile ya waziri mkuu wa Ufaransa, rais wa Ukraine, Trump au hata waziri mkuu flani wa Uingereza. Watu wa namna wana akili na ushawishi mkubwa.Tupo Hapa Mwananyamala Komakoma kwa Baharia Mani opposite na alipokuwa anaishi Makongoro Nyerere tukijadili Siasa za Nchi yetu
Kwa hakika Kati yetu Hakuna aliyewahi kufikiria Freeman atakuja Kuwa Mwanasiasa achilia Kuwa Kiongozi wa Chama kikuu Cha Upinzani
Tunajiuliza huyu Freeman Mbowe alitumia Mbinu gani kuwaingiza Chadema Mawaziri Wakuu wastaafu wawili Sumaye na Lowassa kwa wakati mmoja?!!
Kimsingi tunakubaliana Freeman ni Mwanasiasa mwenye maajabu yake nchini
Kama uko mitaa hii karibu upate kahawa tunamsubiri Meya Songoro
Baadae Mlale Unono ππ
Vile hujui historia ya familia yao, kabla yeye baba yake alikuwa kwenye siasaTupo Hapa Mwananyamala Komakoma kwa Baharia Mani opposite na alipokuwa anaishi Makongoro Nyerere tukijadili Siasa za Nchi yetu
Kwa hakika Kati yetu Hakuna aliyewahi kufikiria Freeman atakuja Kuwa Mwanasiasa achilia Kuwa Kiongozi wa Chama kikuu Cha Upinzani
Tunajiuliza huyu Freeman Mbowe alitumia Mbinu gani kuwaingiza Chadema Mawaziri Wakuu wastaafu wawili Sumaye na Lowassa kwa wakati mmoja?!!
Kimsingi tunakubaliana Freeman ni Mwanasiasa mwenye maajabu yake nchini
Kama uko mitaa hii karibu upate kahawa tunamsubiri Meya Songoro
Baadae Mlale Unono ππ
Mbowe asingekuwa na msimamo angeshanunuliwa kama Viongozi wa vyama vingine. Wana CCM waungane naye kuunda muungano kama wa Ruto na Kashagwa ili washinde Uongozi wa Nchi yetu na kuiongoza vizuri na usalama imara kwa raia wake.Tupo Hapa Mwananyamala Komakoma kwa Baharia Mani opposite na alipokuwa anaishi Makongoro Nyerere tukijadili Siasa za Nchi yetu
Kwa hakika Kati yetu Hakuna aliyewahi kufikiria Freeman atakuja Kuwa Mwanasiasa achilia Kuwa Kiongozi wa Chama kikuu Cha Upinzani
Tunajiuliza huyu Freeman Mbowe alitumia Mbinu gani kuwaingiza Chadema Mawaziri Wakuu wastaafu wawili Sumaye na Lowassa kwa wakati mmoja?!!
Kimsingi tunakubaliana Freeman ni Mwanasiasa mwenye maajabu yake nchini
Kama uko mitaa hii karibu upate kahawa tunamsubiri Meya Songoro
Baadae Mlale Unono ππ
Kazi unayofanya huko sasa imekuwa ngumu, ndiyo maana hii ya mihangaiko inajitokeza.Tupo Hapa Mwananyamala Komakoma kwa Baharia Mani opposite na alipokuwa anaishi Makongoro Nyerere tukijadili Siasa za Nchi yetu
Kwa hakika Kati yetu Hakuna aliyewahi kufikiria Freeman atakuja Kuwa Mwanasiasa achilia Kuwa Kiongozi wa Chama kikuu Cha Upinzani
Tunajiuliza huyu Freeman Mbowe alitumia Mbinu gani kuwaingiza Chadema Mawaziri Wakuu wastaafu wawili Sumaye na Lowassa kwa wakati mmoja?!!
Kimsingi tunakubaliana Freeman ni Mwanasiasa mwenye maajabu yake nchini
Kama uko mitaa hii karibu upate kahawa tunamsubiri Meya Songoro
Baadae Mlale Unono ππ
Na makam mwenyekiti aliejiuzulu!!?Tupo Hapa Mwananyamala Komakoma kwa Baharia Mani opposite na alipokuwa anaishi Makongoro Nyerere tukijadili Siasa za Nchi yetu
Kwa hakika Kati yetu Hakuna aliyewahi kufikiria Freeman atakuja Kuwa Mwanasiasa achilia Kuwa Kiongozi wa Chama kikuu Cha Upinzani
Tunajiuliza huyu Freeman Mbowe alitumia Mbinu gani kuwaingiza CHADEMA Mawaziri Wakuu wastaafu wawili Sumaye na Lowassa kwa wakati mmoja?!!
Kimsingi tunakubaliana Freeman ni Mwanasiasa mwenye maajabu yake nchini
Kama uko mitaa hii karibu upate kahawa tunamsubiri Meya Songoro
Baadae Mlale Unono ππ
Chadee watulie tu
Na rais wa MadagascarHistoria ya Mbowe inafanana na ile ya waziri mkuu wa Ufaransa, rais wa Ukraine, Trump au hata waziri mkuu flani wa Uingereza. Watu wa namna wana akili na ushawishi mkubwa.
Hata Andry Rajoelina rais wa Madgascar ni DJHistoria ya Mbowe inafanana na ile ya waziri mkuu wa Ufaransa, rais wa Ukraine, Trump au hata waziri mkuu flani wa Uingereza. Watu wa namna wana akili na ushawishi mkubwa.