Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Kesi ya Freeman Mbowe ni ya ki historia, imetengenezwa faili kabla hata ya kukamatwa, imefunguliwa jalada huku wakiwaza afunguliwe shitaka la kummaliza.
Inasemekeana Lissu na Mbowe ni threat, sijui na haina uhakika, ni story tu za ma-bavicha.
Mbowe alikuwa mbele ya jaji SIYANI ambaye alipokea vielelezo vyote 10 ambavyo havikupaswa kupoklewa, ghafla SIYANI alipandishwa cheo kuwa JAJI KIONGOZI.
Baada ya muda kidogo TIGANGA akaingizwa naye akavaa viatu vya SIYANI, amekutwa na kesi ya kujibu, maajabu ya dunia.
USHAURI KWA MBOWE NA KIBATALA:
Kesi itacheleweshwa sana na ma- STSTE ATTORNEY, itaisha 2023 na hukumu 2024 ambapo "mwamba atapigwa MVUA" , Mahakama ya rufaa kesi itamalizika 2027 kwa "mwamba" kuachiwa huru huku akiwa dhoofu na vijana wamemsahau mtaani!
Lissu ameingizwa mkenge na HANGAYA, wakatabasamu, HANGAYA akenda kwa mabebebru na akawahakikishia yupo pamoja na wapinzani. Mabeberu wametoa mkopo, sasa habari ya Lissu kwisha.
MBOWE akatae mawakili wake, akipewa nafasi ya kujitetea atoe REVONIA SPEECH , aelezee chaguzi zote na kukamatwa kwake, kupotea kwa watu wote na madhila yote na ahakikishe yote yanaandikwa then AMUACHIE TIGANGA aandike hukumu, hilo tu
Mandela's statement
Mandela declined to give evidence in his defence, but chose instead to make a statement from the dock, highlighting his grievances, outlining his politics and explaining his ideals. The statement took three hours to deliver and is considered a pivotal moment in the history of the development of South African democracy. In it Mandela took pains to deny accusations that he was a communist, or that he regarded the Western parliamentary system as undemocratic.‘On the contrary, I am an admirer of such a system ... The Magna Carta, the Petition of Rights [sic] and the Bill of Rights are documents which are held in veneration by democrats throughout the world.’
Mandela's reference to Magna Carta, with reference to the British parliamentary and legal systems, purposefully aligned him with the ideals of Western liberal democracy. The whole tenor of the statement promoted a free society within a constitutional democracy, while at the same time using Magna Carta to challenge the authoritarian practices of the apartheid regime.
The Rivonia trial, as it became known, concluded on 11 June 1964. Mandela, together with seven others, was convicted and sentenced to life imprisonment. He served a further 27 years before being released in 1990, and was subsequently elected President of South Africa (1994–99).