Pre GE2025 Freeman Mbowe: Wabaya wetu wanatamani CHADEMA itoke Mlimani city ikiwa imesambaratika

Pre GE2025 Freeman Mbowe: Wabaya wetu wanatamani CHADEMA itoke Mlimani city ikiwa imesambaratika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337


Akizungumza leo Januari 20, 2025 katika ufunguzi wa Kikao cha Baraza Kuu Mbowe amesema “kila mmoja wetu katika ukumbi huu waliofika Dar Es Salaam na watakaoendelea kuja Dar Es Salaam wote tuje tumenuia mamoja kwamba tutatoka hapa tukiwa imara pamoja(Stonger together)”

Siku ambayo dunia inasubiri, watesi wetu wanaisubiri, marafiki zetu wanaisubiri, na wanachama wetu wanaisubiri. Twendeni tukawaonyeshe kwamba CHADEMA ni mpango wa Mungu na hakika huu ni mpango wa Mungu,
 
Yeye alipokuwa anataka kuwaondoa watu ambao ni ICON ya CHADEMA alikuwa anataka kuijenga au??
Kwa akili ya kawaida CHADEMA ambayo ingekuwa bila Msigwa,Lissu,Lema,Heche,Pambaluna Wenje ingekuwa Chadema ya aina gani??
 
Usiku wa deni....

Pole Lissu wapambe wako hawakukupa info za kweli.
 
We Mzee mlafi ukishinda ndio kaburi la cdm. We jidanganye tu wengi walitoka na chama kikawa salama.. we tumekuchoka
 
Yeye alipokuwa anataka kuwaondoa watu ambao ni ICON ya CHADEMA alikuwa anataka kuijenga au??
Kwa akili ya kawaida CHADEMA ambayo ingekuwa bila Msigwa,Lissu,Lema,Heche,Pambaluna Wenje ingekuwa Chadema ya aina gani??
1000021047.jpg
 
Mwenzetu Kalawiti

Mwezetu Kalawitiwa


Madhala ya Kulawitiwa ni makubwa Sana😂😂😂😂 Linda Mwanao na hakikisha nyumba yake ina fesi imara kama simba dangoteee😂😂😂
 
Yeye alipokuwa anataka kuwaondoa watu ambao ni ICON ya CHADEMA alikuwa anataka kuijenga au??
Kwa akili ya kawaida CHADEMA ambayo ingekuwa bila Msigwa,Lissu,Lema,Heche,Pambaluna Wenje ingekuwa Chadema ya aina gani??
Aliishawajua ni ma snitch. Just imagine, Mch. Msigwa kushindwa tu Uwenyekiti wa Kanda akakimbilia kwetu CCM! Je, huyo alikuwa na mapenzi ya kweli Chadema?
 
Yajayo ....kesho TAIFA LINAZIZIMA kwa FURAHA

Wenye upeo tumejuwa nini kesho KISHINDO
 
Back
Top Bottom