habari yako
Senior Member
- Aug 3, 2022
- 128
- 70
Nilichotaka kuandika umeshamaliza.Pamoja na kuwa sifuatilii kivile ishu za freemasons, ila hii meseji ipo kimchongo sana. Yaani haieleweki ni salamu za pole au ni utambulisho wa freemasons kwenye familia ya Malkia.
KISA?Mleta mada ungekua mwanamke ningekununulia kijola uvae.
#MaendeleoHayanaChama