Freemasons katika siasa na dini

Stori za kuunga unga hizi. Mafuta na madini ya afrika yanafunjwa na waafrika wenyewe. Viongozi wao wapenda rushwa na ubinafsi.
 
wasomaji wa Daniel na Ufunuo ni watu wa bla bla na uongo uongo. Mnachanganua ukweli 50% na uongo 50% mnaconclude 100% ukweli.

Hayo uliyoandika 50% hayapo kwenye biblia na kama yapo hayana maana hizo unazosema.

Nambie wapi Freemason na Illuminati wametajwa?

unaweza kuniambia ni wapi Pameandikwa maana ya Yule Mnyama wa Kwanza wa Daniel Sura ya 7, Simba mwenye mabwa mawili yanafutuka manyoya? Hayo mabawa kwenye mnyama na manyoya ni vitu gani?? Je yule mnyama wa Nne mwenye nguvu nyingi anakula na kukanyaga mabaki, kwenye biblia hayo mabaki ni vitu gani?

Vipi kuhusu Yule mnyama wa tatu( Chui) mwenye mbavu tatu mdomoni, hizo mbavu tatu kwenye biblia ni kitu gani?

Acheni dhambi muache ku deal na wanyama.
 
Haya maneno hayapo kwenye biblia mahali popote acha kutudanganya
 
hakuna watun wanafiki na wenye kuhukumu wengine kama wasabato!
nahisi kuna shida ndani ya kanisa lao ndio maana kila mara ni ku-judge wengine huku wao wakijiona ni watu safi na ndio wako perfect!
 
Natafsiri" Ufunuo ndo kituo cha mwisho Cha vichaa wa kidini"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…