Mzuka wanajamvi!
Freemasons tafadhalini muondoeni Elon Musk kwenye hiyo nafasi na hata kumi bora hasiwepo.
Yani mmetuletea mtu wa ajabu sana. Yani bora nyakati zile mlituwekea kina Bill Gates na Warren buffet.
Bill Gates alikuwa mtu poa sana hata Africa alikuwa anakuja na kula ubwabwa maharage na madogo vijijini.
Freemasons next time fanyeni vetting ya uhakika kwenye mchakato wa kumuweka mwengine.
N de A
Freemasons tafadhalini muondoeni Elon Musk kwenye hiyo nafasi na hata kumi bora hasiwepo.
Yani mmetuletea mtu wa ajabu sana. Yani bora nyakati zile mlituwekea kina Bill Gates na Warren buffet.
Bill Gates alikuwa mtu poa sana hata Africa alikuwa anakuja na kula ubwabwa maharage na madogo vijijini.
Freemasons next time fanyeni vetting ya uhakika kwenye mchakato wa kumuweka mwengine.
N de A