Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Who are these people exactly GT?
Kaulizie Da'slaam Loon aliwafanya nini madem wa hapo!
Bad Boys Entertinment wote wanaishia pabaya kasoro Sean John peke (PDiddy) yake na kubwa jinga likaishia kulambwa Risasi.
Hata Marlon JJ na yeye aliishiwa akawa Muislaam. Sijui sasa hivi mahela ya MJJ kama ataendelea kuwa Mvaa kanzu.
Hata Obama aligusia hili kuwa watu wakiishiwa wanakimbilia dini na Guns.
Lakini hawa jamaa wawili siku zote wamekuwa waislamu, kama walivyo Swizz Beatz, Puffy, Akon, Busta Rhymes, probably Nas....Jay-Z mwenyewe si alipewa jina la Muhammad alipokuja Bongo, kwa hiyo na yeye ni matter of time kabla haja'convert'. Hii 'beef' yake na 50 inakuwa staged ili kumzalisha upya, if u know what I mean.
Kumzalisha upya nani 50 Cents au Jay Z?
There many reasons to join the right path, yes some might be historical reasons but also reading the quran/teachings might be the reasonsNo insult to Islam but many black Americans believe that Islam is the black man's religion. So I have known some who convert simply because they think they are going back to their roots and as others have mentioned when they feel it's "them against us".
There many reasons to join the right path, yes some might be historical reasons but also reading the quran/teachings might be the reasons