FREEWAY & LOON in Saudi Arabia

The very debate in ones soul...debating about creations and creators relationship, brings most of the americans not only blacks but whites as well to right bath...

debates on christianity and Islam has made people arround the world embress islam

I agree from the historical establishment of Nation of Islam, there is kind of idelogical struggle and feelings that Islam as a religion of opressed blacks and christianity for whites...
 
Mashallah my brother muwe mnasoma na uislamu ukoje lakini na sio brother Ali Ibn Abi Talib or Brother Omar ibn Khattab. Nilienda New York nikakuta jamaa wanaenda kusali na cheni za gold na vipini vya masikioni nikapigwa na butwaa
 
Tumaini na Mdondoaji,

Uislamu wa marekani utaendelea ku-evolve tu hadi ufikie kuwa sambamba na wa sehemu nyingine za dunia. Waislamu kawaida hawamkubali hata Yesu kama ni Mungu (issue inayoletaga malumbano na wakristu), isitoshe washikaji kuitana 'God'.

Huwa nasema ukiweka uislamu na ukristu kwenye chungu kimoja kinachotoka hapo ni uislamu, kwa sababu uislamu si tu unamkubali Yesu kama nabii, lakini inaamini kulikuja manabii wengine baada ya hapo, Mtume Muhammad, peace be upon him, akiwa wa mwisho. Nadhani waafrika tutengeneze version yetu ambayo itajumlisha ukristu na islamu na realities za historia yetu, kwa sababu kuna watu ambao nadhani ni manabii wetu lakini kwenye hizi dini mbili hawatakuja kutambulika (labda 'black liberation theology' inaweza kuwa ndiyo suluhisho).

P.S. Huwa naepuka malumbano ya kidini kwa hiyo I hope sijamu-offend mtu. Mimi siyo muislamu by the way.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…