Mzalendowadamu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2016
- 218
- 318
Habari za majukumu wanajukwaa.
Kuna hizi gari ambazo zinakuwa na freezer/jokofu kwa nyuma zinaitwa Freezer Truck/van , nimeangalia katika mitandao ya wauzaji wa magari na kukuta aina nyingi za vyombo hivi na bei zake, pamoja na kuona yote hayo bado nimepata wasiwasi mwingi juu ya yafuatayo:-
1. Uimara wa hizo freezer
2. Namna zinavyo fanya kazi yaani zinatumia umeme kutoka wapi? generator au kuna mfumo maalum?
3. Je, Ubaridi unakaa kwa muda gani/ mzigo unayeyuka haraka?
4. Ikitokea kuharibika kwa freezer kuna vipuli/spea za kutengeneza na wataalamu wapo hapa tz?
5. Nini ni matatizo ya kawaida/udhaifu wa freezer hizo?
6. Freezer zinaweza kuhimili kubeba mzigo kama mananasi bila kuharibika kwa safari ya kwenda nchi jirani au mbali zaidi?
Naomba kwa yeyote anayejua lolote juu ya Freezer hizi anisaidie. Pia kama kuna sehemu au makampuni napoweza kupata gari hizi hapa Tanzania ningependa kujua.
Muwe na wikiendi njema.
Karibuni mnisaidie.
Kuna hizi gari ambazo zinakuwa na freezer/jokofu kwa nyuma zinaitwa Freezer Truck/van , nimeangalia katika mitandao ya wauzaji wa magari na kukuta aina nyingi za vyombo hivi na bei zake, pamoja na kuona yote hayo bado nimepata wasiwasi mwingi juu ya yafuatayo:-
1. Uimara wa hizo freezer
2. Namna zinavyo fanya kazi yaani zinatumia umeme kutoka wapi? generator au kuna mfumo maalum?
3. Je, Ubaridi unakaa kwa muda gani/ mzigo unayeyuka haraka?
4. Ikitokea kuharibika kwa freezer kuna vipuli/spea za kutengeneza na wataalamu wapo hapa tz?
5. Nini ni matatizo ya kawaida/udhaifu wa freezer hizo?
6. Freezer zinaweza kuhimili kubeba mzigo kama mananasi bila kuharibika kwa safari ya kwenda nchi jirani au mbali zaidi?
Naomba kwa yeyote anayejua lolote juu ya Freezer hizi anisaidie. Pia kama kuna sehemu au makampuni napoweza kupata gari hizi hapa Tanzania ningependa kujua.
Muwe na wikiendi njema.
Karibuni mnisaidie.