Freight Clearing and Forwarding Services

katika hizo meli kuna mabasi mapya ya tata na malori ya tata za tipper na Malori ya Tata novus na prima zinaingia mwezi huu kwahiyo wadau wanaonunua magari ya Tata, wanipigie Simu 0686-168624.
 
Zachaja hatimae inspection ya pili imekamilika wanasema honi ilikuwa haipigi na airbag light...wanasema Morning Hornet ndio meli itakayokuja, inafika lini hiyo meli boss
 
Zachaja hatimae inspection ya pili imekamilika wanasema honi ilikuwa haipigi na airbag light...wanasema Morning Hornet ndio meli itakayokuja, inafika lini hiyo meli boss
Mkuu Morning Cornet itaondoka Japan tarehe 29 September 2018 na inategemea kuwasili bandari ya Dar es Salaam tarehe 24 Octrober, 2018.
 
Mkuu Morning Cornet itaondoka Japan tarehe 29 September 2018 na inategemea kuwasili bandari ya Dar es Salaam tarehe 24 Octrober, 2018.
Basi wacha nivute subra maana sijawahi nunua mashine huko ikachelewa kama ilivyo sasa, thanks boss
 
Basi wacha nivute subra maana sijawahi nunua mashine huko ikachelewa kama ilivyo sasa, thanks boss
Yaah mkuu, nadhani ku-fail kwa ukaguzi wa kwanza ndo kumekuchelewesha vinginevyo machine ingekua mikononi mwako.
 
TAARIFA: Passo na Vits zitaletwa MV. Bagamoyo na zitashushwa soko la samaki feri. TPA hatutki usumbufu bandarini!!!
 
Ruaha Freight Ltd ni kampuni iliyo na leseni ya TRA, kutoa mizigo bandarini, viwanja vya ndege na mipakani (borders), yaani freight clearing and forwarding. Karibuni mtuletee kazi za kugomboa (clear) mizigo ( magari, containers & loose cargo) tunazifanya kwa ufanisi, uaminifu mkubwa na kwa bei nafuu.

Ada zetu za uwakala ( agency fee) ni kama ifuatavyo;
1. Tunagomboa gari kwa tshs. 200,000 tu.
2. Container la futi 20 kwa tshs. 250,000 na futi 40 kwa shs. 300,000 tu.
3. Loose cargo ni tshs. 100,000 mpaka tshs. 300,000 inategemea na ujazo (Cubic Measurement)

Wasiliana nasi kwa anuani ifuatayo;

Ruaha Freight Ltd
Samora House,
Samora Avenue/Morogoro Road,
Dar es Salaam- Tanzania.
Email mail: ruahafreight2017@gmail.com
Tel: +255222128447

Mob: +255718 866 651 (call or whatsapp)
Web: www.sa
Instagram page: Login • Instagram


Karibuni Sana.
 
Container la 20ft na 40 ft yanakuwa na paperwork tofauti? Nijulishe bei ume base kwenye nini hapo? Nitawatafuta muda ukifika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Container la 20ft na 40 ft yanakuwa na paperwork tofauti? Nijulishe bei ume base kwenye nini hapo? Nitawatafuta muda ukifika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti ya agency fee ime base kwenye container deposit, 20ft tuna deposit $500 mpaka $700 na 40ft $1,000 mpaka $1,500 hapa inategemea na wakala wa meli (local shipping line agent).
 
But deposit fee na cleaning fees zote za shipping line analipa customer sasa wewe kwanini uchaji kutokana na deposit fee ? Unless kampuni yako unalipia wewe hiyo deposit fee .
Tofauti ya agency fee ime base kwenye container deposit, 20ft tuna deposit $500 mpaka $700 na 40ft $1,000 mpaka $1,500 hapa inategemea na wakala wa meli (local shipping line agent).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kiongozi tufafanulie kidogo hiyo laki mbili kivp?maana kuna siku niliona gari flasn used japan bei ilikuwa kama $500 nilipoeasiliana na kampuni moja hivi inayofanya hayo mambo wakaniambia total ya gharama ni m 8.naomba ufafanuzi zaidi.
 
kiongozi tufafanulie kidogo hiyo laki mbili kivp?maana kuna siku niliona gari flasn used japan bei ilikuwa kama $500 nilipoeasiliana na kampuni moja hivi inayofanya hayo mambo wakaniambia total ya gharama ni m 8.naomba ufafanuzi zaidi.
Laki 2 sio bei ya kununua gari, unapoagiza gari hua kunakua na gharama zifuatazo,
Bei ya kununulia ikiwa kulekule = FOB = Cost.
Ukaguzi =Inspection Fees
Usafiri = Freight
Bima Gari likiwa melini = Insurance.

Sasa ukijumlisha zote hizi unapata= CIF, yaan COST + INSURANCE + FREIGHT.

Gari likisafirishwa mpaka bandarini kwako kuna gharama za bandari, pia kuna gharama za wakala atakaeshughulikia kulitoa. Hapo ndo laki 2 ya mleta mada inapoingia.

Na kubwa kuliko yote ni kuna gharama za KODI. Hapa gharama ya kodi mara nyingi inazid gharama zote zile pale juu ukizijumlisha kwa pamoja. Hapa ndipo watu wanapokimbiaga magari yao na kuyaacha yanaozea bandarini mpaka yanakuja kupigwa mnada.

Wewe ulipouliza kwa muuzaji ulipewa bei ya FOB/Cost tu, lakini kamwe ungetaka kulipia hiyo asingekubali maana gari kusafiri kuja huku bongo angekusafirishia nani? Na muuzaji kule ana kibali cha kuuza gari ndani ya nchi au/na nje ya nchi.

Gari yenye kutakiwa kuuzwa nje ya nchi lazima uilipie bei ya CIF na sio FOB ili akuletee mpaka port kwako upambane mwenyewe na "TRA" yako.

Nadhan umenielewa mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…