Hapa palikuwa na mgahawa mzuri hiv sijui kwa nini mwenyewe alifunga ile biashara.Sasa kwa hapa barabara ikikamilika pata panda bei zaidi sababu pako location nzuri sana na pana watu wengi sana.hapo panamfaa sana mpemba na zile biashara zao za vyakulaHabarini Wana JF nmeamua kuwaletea Fursa ya fremu ya Barabarani ambayo Haina udalali Wala nini unawapigia Moja kwa Moja wahusika.
Fremu iyo Kodi kwa mwezi ni laki 5
-Ipo G/mboto kabisa Karibu na barabara ya kuelekea mjini pia Ina mazingira mazuri
-Ipo juu ghorofa ya kwanza ni kubwa na nzuri
Mawasiliano: piga 0715610785
0715747915
View attachment 3143099View attachment 3143100View attachment 3143101View attachment 3143108View attachment 3143106
Ndio boss wanguPanafaa kuweka Bar / Pub?
Ongea nao wamiliki mawasiliano hayo 0754610785Anapokea kodi kuanzia miezi mingapi mkuu?