House4Rent Fremu nzuri kubwa inapangishwa Dodoma

Embassy

Member
Joined
Feb 4, 2012
Posts
36
Reaction score
16
Kod lak 500,000 malipo n miez 10
Piga simu au watsap
Namba hii 0718436694

 
Hivi ni huwa hata kuandika tu baadhi ya maneno mepesi imekuwa ngumu kiasi hicho..?
'forways'..?? 'kod lak'..?

Pamoja na kusoma vitabu vyote vya kiswahili bado ni ngumu😅
 
Mhhh! Si mchezo. Kodi kaki 5, na unatakiwa kulipia miezi 10!!

By the way, hivi hilo eneo la Four Ways liko pande zipi hapo Dodoma?
 
Mhhh! Si mchezo. Kodi kaki 5, na unatakiwa kulipia miezi 10!!

By the way, hivi hilo eneo la Four Ways liko pande zipi hapo Dodoma?
Mkuu four way iko na njia panda kwenda iringa na singida Kuna round about hapo kwa SAS ndio wanapaita machinga complez

Kwa hapo biashraa IPO Kama utaweka vufaa vya ujenzi na Vito vya dhamani utapiga pesa

Kwa SAS Niko ddm
Ilazo karibu na kisasa sheli
 
Dah! Kama ni hivyo basi hiyo fremu inawahitaji wale wafanyabiashara wenye msuli. Maana hiyo kodi yake tu ya miezi 10, tayari ni mtaji tosha kabisa kwa sisi wadundulizaji wa chini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…