Fremu ya biashara, ina pangishwa-KCMC Mapipa road, Moshi-Kilimanjaro

Lexus SUV

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2016
Posts
4,493
Reaction score
5,591
Habari ,

✨✨✨✨✨
Nawaleteeeni fremu ya kupangisha mahususi kwa biashara yoyote ile mfano saluni ya kike , mgahawa wa chakula , duka , mini-market au any designed business

Fremu ni kubwa kindani na ipo karibu na chuo cha KCMC yaani geti dogo unaliona ilo hapo , mida kama hii vyuo vinavyofunguliwa ndio sehemu nzuri ya biashara ....


✨✨✨✨
Picha
Mazingira kwa nje ,ni barabara ya lami na watu wanapita wengi sana hasa hasa wanachuo

Kuiona fremu physicaly ni Free no charges .....

For more contact ; 0672701329...
 

Attachments

  • IMG_20231013_121520_835.jpg
    1.3 MB · Views: 49
You are warmly welcome , in deed
 
Lami Kuanzia Kibosho Road Mpaka Longuo Yaani Unakwenda Mbele
Hiyo barabara ina lami kwa sasa yaani unatokea kcmc madukan mpka kibosho road kwa lami mpaka kule shanti road kwa mengi nako kumeweka lami mzee
 
Karibuni wa ndugu bado fremu ipo , karibuni sana kwa maulizo
 
Karibuni wa ndugu bado fremu ipo , karibuni sana kwa maulizo
 
Hivi Pale Juu Kutoka KCMC Unakwenda Kushoto Longua Lile Eneo Ni La Kanisa Kuna Utulivu, Migomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…