Lami Kuanzia Kibosho Road Mpaka Longuo Yaani Unakwenda MbeleHiyo barabara sikuhizi ni lami?
Mitaa imenimiss bikers bado ipo?Hiyo barabara ina lami kwa sasa yaani unatokea kcmc madukan mpka kibosho road kwa lami mpaka kule shanti road kwa mengi nako kumeweka lami mzee
MkuuKaribuni wa ndugu bado fremu ipo , karibuni sana kwa maulizo
Rau palikua shamba sana nako kuna lami siku iziMkuu
Frem Mwaka Unaisha Wapangishe Wauza Majeneza Njia Panda Ya Kwenda Rau
😅🤣😁😄😀😀😅Lami Ipo MkuuRau palikua shamba sana nako kuna lami siku izi
aisee hadi kwa mambo ipo😅🤣😁😄😀😀😅Lami Ipo Mkuu