Mitaa ya nyuma huenda akapata bwana...sio front...lakini kwani vile vifremu vya chuma kwani bei si ndio hizo?We unahisi kuna frame ya laki katika eneo analotaja? Labda kibanda cha bati atapata ila kwa frame ni ngumu
Kwa nyuma nyuma sawa.Mitaa ya nyuma huenda akapata bwana...sio front...lakini kwanj vilr vifrem vya chuma kwan bei si ndio hizo?