Fremu ya Biashara Sinza, Ubungo, Kijitonyama, Magomeni

Nsemwas Junior

Senior Member
Joined
Oct 23, 2009
Posts
173
Reaction score
56
Habari zenu wachumi

Naomba kujulishwa juu ya fremu za biashara zilizokomaeneo mazuri kwa kiasi au standard kwa lugha nyingine kwa ajili ya kuweka ofisi ya stationary na graphics.

Je kwa kodi ya 150,000 kwa mwezi kwa hayo maeneo niliyoyataja na yale jirani na hayo inawezekana?

Ahsanteni sana juu ya hili
 
Frame zinapatikana maeneo lakini si kwa bei hiyo kodi inaanzia 250,000/= kwa mwezi mpigie 0789690871 atakusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…