C'est bien de ta part d'essayer de faire parler les gens un peu plus ici, JeanPrierre, parce qu'il semble que la motivation d'apprendre n'est plus vraiment là. C'est bien dommage car le français n'est pas une des langues les plus faciles qu'il y a dans ce monde, celui qui veut apprendre doit donc beaucoup la parler s'il veut faire des progrès.
Peut-être qu'il serait mieux de la part de ceux qui parlent déjà bien la langue (les gens comme toi et moi) de traduire leurs posts? Comme ça les autres les comprennent mieux et apprennent plus facilement la langue aussi.
Tafsiri:
Ni nzuri kujaribu kuwafanya watu hapa wazungumze zaidi, JeanPrierre, kwa sababu inaonekana tamaa ya kujifunza kifaransa haiko tena. Ni ya kusikitisha maana si mojawapo ya lugha rahisi zaidi duniani, ni lazima atakaye kujifunza aiongee sana bila hofu ya kufanya makosa kama akitaka kupata maendeleo.
Labda ingekuwa bora kama wenye kuongea kifaransa vizuri tayari - watu kama wewe na mimi - wangetafsiri mabandiko yao? Hivyo watu wengine wangewaelewa vizuri zaidi na kujifunza lugha kwa urahisi zaidi pia.
PS: JeanPrierre avec un R entre le P et le I? Erreur de frappe ou nom très original? 😛
(sitafsiri sehemu hili kwa sababu sijui maneno ya kiswahili yamaanishayo "erreur de frappe" na "original", samahani.)