fresh milk

Scofied

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2012
Posts
2,456
Reaction score
1,673
wakuu heshima yenu....napenda kujuzwa kama kuna ugonjwa wowote unaotokana na unywaji wa maziwa fresh ua ngombe haswa ngombe wa kienyeji...nimekuwa ba utaratibu wa kunywa c chini ya lita moja ya maziwa fresh ya ngombe wa kienyeji niliyochemsha kila siku...nawasilisha.
 
Possibly unawezapata magonjwa na hasa TB na hii inaweza tokea , kama maziwa unayokunywa hayachemshwi vizuri, mycobacteria bovis wanaweza kuwa hatari kwako
 
Possibly unawezapata magonjwa na hasa TB na hii inaweza tokea , kama maziwa unayokunywa hayachemshwi vizuri, mycobacteria bovis wanaweza kuwa hatari kwako
dah dalili zake nini mkuu? na hao mycobacteria bivis n i wapi tena mkuu?
 
Kutokwa na jasho jingi usiku hata kama upo kwenye kiyoyozi
 
Kama unayachemsha basi usiwe na hofu hakuna ugonjwa wowote ule na kiafya ni mazuri sana.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…