Fresher kuweni macho na kondakta wa basi lililotoka Karagwe kwenda Mwanza leo Novemba 03.

Fresher kuweni macho na kondakta wa basi lililotoka Karagwe kwenda Mwanza leo Novemba 03.

DENAMWE

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2019
Posts
862
Reaction score
871
Kwa huduma, mbovu, masimango, dharau, kejeli, kebehi, nk za huyo konda wenu wa leo, atashusha heshima ya kampuni yenu na.kuwaharibia biashara.
Wekeni mfuatiliaji mtaelewa ninalomaanisha.
Kampuni tunaihemu, Wafanyakazi wenu waheshimu wateja wenu.
 
Back
Top Bottom