D DENAMWE JF-Expert Member Joined Dec 29, 2019 Posts 862 Reaction score 871 Nov 3, 2023 #1 Kwa huduma, mbovu, masimango, dharau, kejeli, kebehi, nk za huyo konda wenu wa leo, atashusha heshima ya kampuni yenu na.kuwaharibia biashara. Wekeni mfuatiliaji mtaelewa ninalomaanisha. Kampuni tunaihemu, Wafanyakazi wenu waheshimu wateja wenu.
Kwa huduma, mbovu, masimango, dharau, kejeli, kebehi, nk za huyo konda wenu wa leo, atashusha heshima ya kampuni yenu na.kuwaharibia biashara. Wekeni mfuatiliaji mtaelewa ninalomaanisha. Kampuni tunaihemu, Wafanyakazi wenu waheshimu wateja wenu.
D DENAMWE JF-Expert Member Joined Dec 29, 2019 Posts 862 Reaction score 871 Nov 3, 2023 Thread starter #2 Iandikwe Frester siyo Fresher.
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 38,657 Reaction score 44,759 Nov 3, 2023 #3 DENAMWE said: Kwa huduma, mbovu, masimango, dharau, kejeli, kebehi, nk za huyo konda wenu wa leo, atashusha heshima ya kampuni yenu na.kuwaharibia biashara. Click to expand... Hiyo ni tabia ya kawaida kabisa ya mtu mwenye uhakika wa kulishwa na kulazwa kwa siku,
DENAMWE said: Kwa huduma, mbovu, masimango, dharau, kejeli, kebehi, nk za huyo konda wenu wa leo, atashusha heshima ya kampuni yenu na.kuwaharibia biashara. Click to expand... Hiyo ni tabia ya kawaida kabisa ya mtu mwenye uhakika wa kulishwa na kulazwa kwa siku,