wao ndo wanafanya inakua hivo,Yaani sijui kwanini dame ukishamkojolea tu unaanza kumuona utopolo na kuanza kufikiria wale ambao hawajakupa kitobo, imagine unafukuzia dame wiki2 au mwezi ukishamvua tu unamuona hana jipya
Kumbe ndio maana umembwaga Dr Lizzy unataka mashangazi sasaI wish nipate lishangazi moja humu leo
Af kweli, daah umenipa bonge la aidiaKale majani. Hayahitaji hata sh mia
Mkuu mbona mishangazi imejaa badoo kule...I wish nipate lishangazi moja humu leo
Ndio nasaka hapaMkuu mbona mishangazi imejaa badoo kule...
πππ umeona unikatie kabisaaa wayaaaaKumbe ndio maana umembwaga Dr Lizzy unataka mashangazi sasa
Eeeenh kama upo mjini Das'lam hali ya hewa ni kwa ajili ya shangazi aliyenona[emoji16]I wish nipate lishangazi moja humu leo
Nipo katoro geita.. jua ni kali sanaaa hapa nanuka kama beberuEeeenh kama upo mjini Das'lam hali ya hewa ni kwa ajili ya shangazi aliyenona[emoji16]
Wanawake wazuri wapo na huwa mnawapata sema tamaa zenu za kutokuridhika ndizo zinazowafanya waondoke kwenye maisha yenu.Wacheni tuondoke ili tupate wale watakaojua na kuona mchango wetu na thamani yetu.Mapenzi ya sasa hivi ukiona sehemu hupendeki unaondoka tu.Kwenye maisha hasa ya mahusiano hakuna demu mkali, na ukiona demu ni mkali ujue sio wako.
Pia hakuna asiye mwongo we chagua mtu ambaye utavumilia uongo wake.
Kwaheri.πππππ
NAKAZIANdo maana tunasema;
Kataa ndoa
Ndoa ni msongamano
Tunza kibunda chako!!
Huko si ndio inanyesha na wingu 24hrs mkuu, haya tafuta mshangazi wa kinyantuzu/kisukuma, na vile yalivyojazia...[emoji16]Nipo katoro geita.. jua ni kali sanaaa hapa nanuka kama beberu
samahani naweza kuku pmWanawake wazuri wapo na huwa mnawapata sema tamaa zenu za kutokuridhika ndizo zinazowafanya waondoke kwenye maisha yenu.Wacheni tuondoke ili tupate wale watakaojua na kuona mchango wetu na thamani yetu.Mapenzi ya sasa hivi ukiona sehemu hupendeki unaondoka tu.
Aiseee, haya majituuu yana mizigooo ila sura za baba na babuu zaoβ¦ sema nawakega tu sura ya Alayna maisha yanasonga πππHuko si ndio inanyesha na wingu 24hrs mkuu, haya tafuta mshangazi wa kinyantuzu/kisukuma, na vile yalivyojazia...[emoji16]