Friday Night Live (FNL) EATV

Mie huyo t bag sijui t bwaji hata simuangaliagi bora niangalie shilawadu ya clouds tv kuliko hako kajitu.... Kana penda umaarufu sana na swaga zake za kike kike
Huy jamaa hajuagi tu kutangaza mana kama anarap siku zote alizokaa hapo eatv ameshindw leo kupresent huy jamaa mzito kujifunz kwa wenzak
 
Sam na dullah hawapo kipindi kilipwaya sana, hata maswali anauliza hayana mantiki labda atajirekebisha
 
huyu T Bway ndio kavaa nguo gani hii mpaka yeye mwenyewe anajishtukia
nguo imejichora mpaka penis inaonekana imetuna

Atakuwa ndo katoka jando kutairiwa sasa anataka kuonyshea wadada ,maana hata mimi nimeona mchoro wa kichwa cha chululuu yake kama ndo imekatwa hivi karibuni,nafkiri ndio alikuwa kwenye ile opereshini mkono sweta!
 
Atakuwa ndo katoka jando kutairiwa sasa anataka kuonyshea wadada ,maana hata mimi nimeona mchoro wa kichwa cha chululuu yake kama ndo imekatwa hivi karibuni,nafkiri ndio alikuwa kwenye ile opereshini mkono sweta!
Mtoto wa kiume kushobokea uume wa mwenzako ni dalili ya uchoko
 
Sam na dullah hawapo kipindi kilipwaya sana, hata maswali anauliza hayana mantiki labda atajirekebisha
Kijana acha wivu dogo alisimamia show vizur tu!
Wewe ulitaka aulize maswali gani zaidi na yapi yalikua hayana mantiki
 
Mie huyo t bag sijui t bwaji hata simuangaliagi bora niangalie shilawadu ya clouds tv kuliko hako kajitu.... Kana penda umaarufu sana na swaga zake za kike kike
Dah...kwa hio shilawadu ni swagga za kiume eeeh[emoji25]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…