Friday Night Live: Juma Nature azidiwa mapombe, ashindwa kufanya interview

Sasa usiigeuze hii kuwa consultative meeting. Hebu tuwe participatory lest you pay me. Wewe unaonaje?
kwahiyo kufakamia ubwabwa ndo kukosa selfcontrol huh?.na kukosa selfcontrol ndo uswahili..ok.

Umetumia kamusi gani au ni tafsiri zako binafsi.
 
Yani juma nature ameshindwa kujiheshimu kabisa na ameshindwa kuheshimu media na watangazaji pia anashindwa kuheshimu kazi za watu!

Nature amekuwa kama mtu aliye changanyikiwa.
 
Mwali kama ungepata chance ya kumuangalia juma nature ungejua tuu kapiga vyote bila shaka!ameshindwa kujiheshimu na kuheshimu media!

Was it bangi or pombe? This is so unprofessional!
 
Last edited by a moderator:
Wasani wa tz wana potea kwa ulevi na uteja nako uku daimond gumzo mjini uku ndo pana muita coz angekuwa na uwezo ange kunywa pombe akete mawazo saivi uwezo kapata wakujenga nyumba mpaka dabodabo anataka kulewa sasa awale hao bongo movie wote akimaliza aje kula poda unga kama kina rayc na langa tu mzike ki game haah kumbe ndo maana sikuizi juma ana wenge ivo dah. Atajiju. Kilakitu na wakat wake. Tujifunzeni tu pasavo kuishi kupitia kwao.
Am done.
 
Dk Savinus
Maronga aliliambia gazeti
hili kuwa baada ya kuona
kuna watu wengi
wanaopenda kuendelea
na masomo ya elimu ya
juu, lakini wameshindwa
kutokana na kutokuwa na
vigezo, TCU imeamua
kuanzisha mitihani hiyo
maalumu
 
..Does this ---- deserve to be a Breaking News?!.
 
....mshike mshike ndege tunduni...nadhani Nature ameshanasa tunduni

Mkubwa mkumbuke kijana wako anapotea vipi na wewe upo ?...mtoto akinyea kiganja hakikatwi..
 
Necha anaitaji msaada wa haraka sana ananyausha kuliko maelezo,yani anatia huruma sana....umkute asubuhi kalewa umkute mchana jioni kalewa...mke kamshindwa mamake kamshindwa washikaji wamemshindwa,mziki umemshinda,ata kama ndio stress za maisha hii ni noma asubuhi anakunywa bia na vitumbua.. wanasema kalogwa na kina Fella.
 
Dogo ni mzuri kimashairi hizo pombe kawaida sana.mkimwamsha hata pale anaweza toa singo moja kaliii🙄
 
Da msanii wangu Nature!! mitungi kiasi hicho angalia bwana usiwe kama mtoto Idd!
 
Made in tanzania,ipo siku utasikia diamond kagegeda hadi kashindwa fanya interview only in tanzania
 

bia na vitumbua hahahaaaa umeniacha hoi. Ila pesa ya bia anayo au gongo vitumbua?
 
huenda ni defensive mechanism, unajuaje huenda alikwenda kuulizwa health status?
 
Nature kaanza kunywa gongo tangu anamiaka chini ya 18.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…