Friday night live kina amsha amsha shilawadu haina jipya

amos eglan

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
310
Reaction score
463
Yaaani kiukweli mwanzoni hiki kipindi cha shilawadu kilikuwa kinaonekana ku take over vipindi vya burudani kiasi kwamba ikaonekana kwamba kipindi pinzani cha ijumaa Friday night live chaliii lakini kwa sasa Friday night live ni moto aisee creativity nzuri ya kuwakutanisha ma super star ambao wana bifu au waliopigana madongo lakini shilawadu ndo wamefika mwisho wa ubunifu wao wamebaki kupiga story tu studio
 
FNL fan since day uno.....Tangia Salama/Sebbo.
 
FNL wapo byee, ila yule dogo sijui Sipenga..anayekuja kuzungumzia story za kitaa za watu maarufu bongo anazingua...
 
Nasubiri comments zaidi niendelee kusoma manake sijui nani zaidi!
 
Wamtoe kweny kile kipengele analeta ujuaji wakujifany tozi kupitiza # kiufupi sam yuko good nlipenda jn alivyo kua anamzingua calisah kuhusu mwanaum kuvaa vitu vy kike
 
Tatizo la wa clouds ni advertisemnts nyingi sana mpaka kero
 
So unamaanisha bila mabifu ya wasanii fnl si lolote? Anyway mi naangaliaga vyote sibagui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…