Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Oct 14, 2017 #21 Kichwa Kichafu said: Series Click to expand... yap yap
gwa myetu JF-Expert Member Joined Aug 18, 2014 Posts 4,473 Reaction score 4,666 Oct 16, 2017 #22 screpa said: So unamaanisha bila mabifu ya wasanii fnl si lolote? Anyway mi naangaliaga vyote sibagui Click to expand... Tatizo nina dstv naimis FNL
screpa said: So unamaanisha bila mabifu ya wasanii fnl si lolote? Anyway mi naangaliaga vyote sibagui Click to expand... Tatizo nina dstv naimis FNL
MAXY MUSAY JF-Expert Member Joined Aug 2, 2017 Posts 480 Reaction score 201 Oct 16, 2017 #23 Hicho kipind sijawai kusikiliza watu washajiita wambea afu wanaume.........
gold girl Member Joined Oct 11, 2017 Posts 29 Reaction score 16 Oct 16, 2017 #24 Ujue clouds wanajitahidi sana kuwapiku eatv kwanza ukiangalia vipind vingi vya clouds wameiga eatv lakini kwenye creativities eatv wame simama vizuri sana sema nadhani eatv wana kasoro moja tu ya mshahara ila wapi vizuri mno
Ujue clouds wanajitahidi sana kuwapiku eatv kwanza ukiangalia vipind vingi vya clouds wameiga eatv lakini kwenye creativities eatv wame simama vizuri sana sema nadhani eatv wana kasoro moja tu ya mshahara ila wapi vizuri mno
kitalembwa JF-Expert Member Joined Jul 12, 2014 Posts 3,607 Reaction score 9,430 Oct 16, 2017 #25 next time usifananishe FNL na vitu vya ajabu
elmagnifico JF-Expert Member Joined Jul 7, 2011 Posts 8,261 Reaction score 9,733 Oct 16, 2017 #26 Ajabu ni kwamba watu uwa wanaponda almost kila kitu toka clouds lakini wanaongoza kujua vipindu na watangazaji na matukio yanayohusu clouds
Ajabu ni kwamba watu uwa wanaponda almost kila kitu toka clouds lakini wanaongoza kujua vipindu na watangazaji na matukio yanayohusu clouds
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,197 Reaction score 128,160 Oct 16, 2017 #27 Okey sawa tumekusikia. Asante kwa taarifa.