INAUZWA Fridge, sofa, meza ya chakula na kabati la vyombo vinauzwa

INAUZWA Fridge, sofa, meza ya chakula na kabati la vyombo vinauzwa

Kwema wakuu,,
ninauza vitu vyangu vya ndani kama ifuatavyo:
kabati la vyombo 4"kwa 5" mbao mninga 500,000tzs
dining table na viti vyake 200,000tzs
sofa la watu 5 L shape 500,000 tzs
Fridge 280,000tzs
unaweza kulipa kwa awamu kama utachukua zaid ya kitu kimoja.
kwa maelewano na picha,ni pm.
Mkuu, si umepewa pesa ya uhamisho, njoo navyo tu Dodoma maana huku bei iko juu.
 
Mkuu, si umepewa pesa ya uhamisho, njoo navyo tu Dodoma maana huku bei iko juu.
Huyu yuko huko huko Dodoma, siyo uhamisho bali vyuma vimekaza mkuu hataki kuachia angalau kidogo
 
Nitamfuata mtu PM kama tu anauza msambwanda, maana huo hawezi kuweka picha hadharani...otherwise ni upuuzi.
 
Back
Top Bottom