INAUZWA Fridge, sofa, meza ya chakula na kabati la vyombo vinauzwa

Mkuu, si umepewa pesa ya uhamisho, njoo navyo tu Dodoma maana huku bei iko juu.
 
Mkuu, si umepewa pesa ya uhamisho, njoo navyo tu Dodoma maana huku bei iko juu.
Huyu yuko huko huko Dodoma, siyo uhamisho bali vyuma vimekaza mkuu hataki kuachia angalau kidogo
 
Japo hata picha za ushawishi ...
 
Maneno mimi sipendelei, weka picha unishawishi
 
aise.. ningukua na pesa ningechukua .. kweli ufukara mbaya..
 
Nitamfuata mtu PM kama tu anauza msambwanda, maana huo hawezi kuweka picha hadharani...otherwise ni upuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…