INAUZWA Fridge, sofa, meza ya chakula na kabati la vyombo vinauzwa

100 itapendeza zaidi
 
Unauza hewa siyo????? Ww biashara matangazo huweki picha sasa tutanunua vipi au unauza mbuzi ktk gunia
 
Eti unatushawishi kwa maneno matupu. Weka picha mkuu
 
.hii post sio ya kushawishi mtu yeyote,,ni kwa watu wenye uhitaji..
kama huna uhitaji pita kushoto..
Povu ruksa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…