Friendly Match:Simba SC Vs Hard Rock ya Zanzibar

Another Gulioni FC?
Hardrock or Soft rock?
 
Hiyo hard rock ilikua very disorganised walitoka zenj hawajatimia wakaja huku home kuongezea wachezaji(nna ushahidi) kwahiyo hao simba walicheza na timu ya kuokotana okotana tu.

form1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliona red kadi?yaani inakuwa kama Wanaume(Lipuli) anacheza na Wanawake(Yanga),ukimguza kifua tu refa anajua ulitaka kumshika chuchu
Sasa hivi mnyama ni mwendo wa dozi nene, ulikatiza mbele jilaumu mwenyewe!
Forward hii hatari sana, mechi 2 goli 12, dah! Mpira ni magoli na simba sasa imeamua kucheza mpira!
 
Kwa mtu anayeujua mpira kwa kweli Mavugo na Luizio ni mzigo . Hawana viwango vya kuichezea simba. Najiuliza hivi simba walishindwaje kumsajili mtu kama Mandawa mpaka akaenda Botswana. Au hata Kelvin Kiduku mtu aliyepiga goli 10 kwenye ligi iliyoisha? Au ndio zile promo walizompa Mavugo wakati anakuja wanaona aibu sasa kumuacha? Ni mara 100 hata wampange Jonas Mkude acheze sentafowadi kama viungo wamejaa kuliko kuwapanga Luizio na Mavugo ambao wanakosa magoli ya wazi kabisa. Yaani hawa wanatakiwa wafukuzwe hata kabla dirisha dogo halijafungwa. Hivi ukishindwa kufunga goli kwenye mechi na Hardrock utaweza kweli kufunga mechi na Mbao?
 
Niwakati wa kumpanga MO Ibrahimu ktk kikosi cha kwanza.
Ana target nzuri golini.
Anajua kufunga haswa hata Rayon Sporting aliwafunga.

Pongezi kwako MO
ongeza bidii utafika mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…