Usinisahau week end hii sina pa kwenda mpwa
Usinisahau week end hii sina pa kwenda mpwa
Preta,
Unamfahamu yule "Joyce" mhudumu wa Calabash?
kuanzia umeunganisha Dstv home kumekuwa na mabadiliko kweli, naona cku hizi hata siulizwi kama Malouda ana play au vipi...wakikukatia ucrudi kwangu.
wakwetu hivi ni nini lakini....kwa nini tupoteane kiasi hiki
LOL
mie nshaanza wikendi saa hii... sijui kama ntafika saa mbili usiku
pale pale kwa Eliza....Jamani Lokesheni wapiiii?
waaaaaaaaaat?calabash ofcoz
Habari yako MJI...upo? karibu ulanzi huku usalule..Acid.......... mbona hujaniletea chocolate?? me no touch no alcohol you know.
nasubiria siku utayotoa offer ya chocolate.......... wl join happily
NL uko wapi wewe??.....hapa wapi vile? loh miss sana wapwaaaaz.........! Fungus boy.....ile kitu red rebel......daaah menikumbusha mbali sana......zati naiti bana.....!
Nimekuletea Chock stick,.... you can lick it the way you want... OOPPPPss sorryAcid.......... mbona hujaniletea chocolate?? me no touch no alcohol you know.
nasubiria siku utayotoa offer ya chocolate.......... wl join happily
wanachama wote mtapigiwa simu....!
saa kumi na moja tukutane pale pale....
ambae anadhani sina namba yake ya simu ANAWEZA NI-PM