Friends of Kaizer Chiefs tukutane hapa

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Uzi huu ni kwaajili ya marafiki wa Kaizer Chiefs ambao tumekuja Tanzania kwaajili ya kuisapoti timu yetu ili iweze kuibuka na ushindi kesho jumamosi.

Mnakaribishwa sana wote ambao ni Friends of Kaizer Chiefs, karibuni hapa jukwaani kujadili mawili matatu kuhusu mchezo huu.

Simba hatopata hata goli la offside kesho. Marafiki wa Kaizer Chiefs " Amakhosi " karibuni sana kwenye uzi
 
Sawa, halafu tuje tukutane hapa tena Julai 3
 
Huu utakuwa uzi wa wapinzani Chadema, serikali wauangalie kwa makini sana
 
Kaizer anakufa kesho kwa Mkapa kwa goli nyingi na Simba watafuzu kwenda nusu.
Wa Mafia,wa Kisiju,Wa Tanga,wa Kigoma,wa Ukara na Ukerewe,wa Ufipa,wa Pemba,wa Kigoma wote wameelekeza nguvu kwa Simba ili ifuzu.
 
Kaizer anakufa kesho kwa Mkapa kwa goli nyingi na Simba watafuzu kwenda nusu.
Wa Mafia,wa Kisiju,Wa Tanga,wa Kigoma,wa Ukara na Ukerewe,wa Ufipa,wa Pemba,wa Kigoma wote wameelekeza nguvu kwa Simba ili ifuzu.

Uchawi hauvuki bahari
 
Na ubingwa wa ligi kuu hampati hamieni zenji kabisa
 
Walichokosea Kaizer ni kuigiza kuoga wakati uchawi hawauwezi.

Walifanya maigizo kwao, sasa wahuni wa huku wanawaroga kweli..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…