Yanga Ifanye vema leo ni LeoHuu uzi utakimbiwa
Utakuja kufa miguu juu wewe shauri yakoNimekua nikishabikia hio team Toka miaka ya 2000
Habari ya wakati huu tena ndugu yetu Utopologist Monastir! 😇Angalia magoli Monastir wanayofunga, hawa mapimbi akina Dikson wataishia kuokota mipira tu nyavuni