Friends of PSG for this tie

Safiii,basi after match nitakuja hapa nione uchambuzi wako......

Mtani nipe update.... jamaa alirudi?

Daslam Simba wananiboa
England Liverpool wanaiua kwa presha
Spain Messi ananitibu kupitia dawa Barcelona...

Mungu yu mwema kwangu
 
Mtani nipe update.... jamaa alirudi?

Daslam Simba wananiboa
England Liverpool wanaiua kwa presha
Spain Messi ananitibu kupitia dawa Barcelona...

Mungu yu mwema kwangu
Hahaha kama ni mimi, nilirudi nimewapa pongezi zenu ki-unafiki hivyo hivyo. Ila Game haijaisha, bado inaweza kugeuka. Tutaona wiki ijayo.
 
Mtani nipe update.... jamaa alirudi?

Daslam Simba wananiboa
England Liverpool wanaiua kwa presha
Spain Messi ananitibu kupitia dawa Barcelona...

Mungu yu mwema kwangu

Hahahaha!! Karudi kutoa pongez za shingo upande, kwa kweli Barca huku wanatutibu wengi.....

Ameen Mtumishi Mungu yu mwema kwetu sote.....
 
Msimu ujao tumo ndani ya CL tutawaonesha still England ina hazina ambayo ni The United.
-Hahahahahahahahahahaha
-Hapa kidogo umeongea, mimi nadhani Man U asingetoka kizembe kama Arsenal, Liverpool na Man City. Labda wakikutana na Barca ndo watatoka kizembe kama Man City.
 
Jana hiyo, zingine zinafuataaaaaaa.........
 

Attachments

  • 1429172749205.jpg
    54.6 KB · Views: 47
  • 1429172760254.jpg
    70.1 KB · Views: 47
  • 1429172792317.jpg
    56.7 KB · Views: 43
Rakitic endelea kukaza buti, utakuwa mzuri kama Xavi Hernandez!!!
 

Attachments

  • 1429172891720.jpg
    63.3 KB · Views: 47
  • 1429172920215.jpg
    58.9 KB · Views: 47
Respect¡¡¡ Jana kwa Goli mbili zile hakuna aliekupinga, ktk Finishing wewe ni hatari ndo maana ukaja Barcelona ili ukuze kipaji na sio kudumaza kipaji ukiwa EPL. Vamos Suarez!!!
 

Attachments

  • 1429173089692.jpg
    53 KB · Views: 45
-----Lionel Aleyn Messu akifanya yake, akiamua kupita huwa anapita bila kuangalia kuna ugumu gani.
-----Safari hii wewe ndo Mchezaji Bora wa Dunia, Ronaldo kashaanza kuzeeka. Cheza mpira, waburuze, waendeshe, wakanyage, wapinduepindue tani yako.
 

Attachments

  • 1429173279653.jpg
    63.5 KB · Views: 49
Hii duo ikiendelea hivi hivi itakuja kuwa duo isiyosahaulika ktk ulimwengu wa soka pale Barcelona.
Kama Eto'o na Gaucho. Na iwe hivyo kwa Messi na Neymar.
 

Attachments

  • 1429173462057.jpg
    47.9 KB · Views: 49
  • 1429173475583.jpg
    49.3 KB · Views: 49
  • 1429173504865.jpg
    60.3 KB · Views: 48
  • 1429173546482.jpg
    61.5 KB · Views: 49
Aleyn nisaidie sikumuelewa Neymar alimaanisha nini alivyoweka mpira tumboni
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…