Tetesi: Friends of Simba wanamtuhumu Mwenyekiti wa Simba kuwasaliti

Tetesi: Friends of Simba wanamtuhumu Mwenyekiti wa Simba kuwasaliti

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Nipo kwenye gym moja maarufu sana hapa karibu na Ubalozi wa Vatican lakini kwa masikio yangu nimemsikia mmoja wa wana kundi wa friends of Simba akimtuhumu mwenzao aliyepo karibu na Mudi kwa kuwa (nokolea).

" ....Chairman anaenda kuiharibu Klabu kwa kupenda sifa za hovyo kwa bwana mkubwa."

".....Alimdanganya bwana mkubwa mimi na wenzangu tuliokuwa kwenye baraza la utendaji ndiwo tuna tumia pesa isivyo paswa hasa tuliokuwa tunahangaikia kutafuta wachezaji wa nje."

".....Kamchongea yule binti hadi akaamua a resign. Ajabu hawataki kumlipa stahiki zake kwa kisingizio cha ukata!"

"..... Kaamua aweke member anaoweza kuwapelekesha ili yake yaweze kwenda jambo ambalo si sawa sawa hata kidogo."

"....Cres alipoona uelekeo siyo mara moja aliamua awe kando na ndiyo maana huoni akijishughulisha na lolote lihusulo Klabu."

"....Ila nakuhakikishia hatoboi kwa u mimi wake anaoufanya. Na siku bwana mkubwa akimshitukia hakika na kwambia atamfukuza kama mbwa!"

Chanzo mimi mwenyewe kwa masikio yangu.
Screenshot_20230713-162047.png
Hii ilikuwa 30 May na Barbara ali coment alikubaliana naye kwa 100%

Chini hapo ni Barbara akirejea ujumbe fanani na huo hapo juu wa aliyekuwa mjumbe wa board.
IMG-20230712-WA0036.jpg
 
Nipo kwenye gym moja maarufu sana hapa karibu na Ubalozi wa Vatican lakini kwa masikio yangu nimemsikia mmoja wa wana kundi wa friends of Simba akimtuhumu mwenzao aliyepo karibu na Mudi kwa kuwa (nokolea).

" ....C

Chanzo mimi mwenyewe kwa masikio yangu.
Hili halihitaji Elimu kuuuubwa kuling'amua. Jaribu tena ni kirusi si Kwa viongozi tu hata Kwa Wachezaji. Kama kweli Chama ataondoka sababu kubwa ni Jaribu na Kipenzi chake wa 10% Saidoo.
 
Mangungu, MBUNGE mstaafu wa Kilwa na TISS mzoefu huyo. Hiyo Simba kama huyo yupo MO hatouziwa hata afanye nini.
 
Nipo kwenye gym moja maarufu sana hapa karibu na Ubalozi wa Vatican lakini kwa masikio yangu nimemsikia mmoja wa wana kundi wa friends of Simba akimtuhumu mwenzao aliyepo karibu na Mudi kwa kuwa (nokolea).

" ....Chairman anaenda kuiharibu Klabu kwa kupenda sifa za hovyo kwa bwana mkubwa."

".....Alimdanganya bwana mkubwa mimi na wenzangu tuliokuwa kwenye baraza la utendaji ndiwo tuna tumia pesa isivyo paswa hasa tuliokuwa tunahangaikia kutafuta wachezaji wa nje."

".....Kamchongea yule binti hadi akaamua a resign. Ajabu hawataki kumlipa stahiki zake kwa kisingizio cha ukata!"

"..... Kaamua aweke member anaoweza kuwapelekesha ili yake yaweze kwenda jambo ambalo si sawa sawa hata kidogo."

"....Cres alipoona uelekeo siyo mara moja aliamua awe kando na ndiyo maana huoni akijishughulisha na lolote lihusulo Klabu."

"....Ila nakuhakikishia hatoboi kwa u mimi wake anaoufanya. Na siku bwana mkubwa akimshitukia hakika na kwambia atamfukuza kama mbwa!"

Chanzo mimi mwenyewe kwa masikio yangu.View attachment 2686792Hii ilikuwa 30 May na Barbara ali coment alikubaliana naye kwa 100%

Chini hapo ni Barbara akirejea ujumbe fanani na huo hapo juu wa aliyekuwa mjumbe wa board.
View attachment 2686796
Msiwe mnaleta posti kama hizi, zitamchochea na kumharakisha mtu KUKATA TAMAA.
 
Hawa Friends of Simba FoS walitaka kuweka chairman wao ktk uchaguzi ,ili wafanye yao
 
una uhakika aliresign kwa kupenda mwenyewe?

Hii ni Tanzania a.k.a Tanzagiza mkuu kila kitu ni siasa

Yule Binti alionewa sana tu
Mleta mada kasema aliresign, Bvrbvr naye alisema kaandika barua ataresign, mwanzoni tuliambiwa ni chakula cha Mo. Sasa which is which? Watz huwezi kuwaelewa kama una akili
 
Nilipokua mdogo niliambiwa matacle yana weza pia kuwaza sasa imepita miaka 30 najionea kwa macho yangu mwenyewe
 
Back
Top Bottom