Ndio. Inaweza na zaidi ya hapo
Kikubwa awe tayari anawajua wateja wa kununua..
Inalipa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni nzuri kwa biashara ya icecream endapo mlipo pana mkusanyiko wa watu hasa wanafunziWakuu, nimejibana nimepata shilingi 1million mke wangu amenishauri nimemnunulie friji kuanzia laki 5-8 pesa itakayo baki laki 2 afanye kama mtaji wa kuuza barafu, Ice cream na juice. Naomba ushauri wenu je hii biashara inaweza inaweza zaa matunda na kurudisha hiyo pesa? Natanguliza shukrani.
πππππni nzuri iyo amejiongez ela za kodi na umem mtegemee yey sometime we nyingine kagonge balimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli ndo nasikia leo hiiAnaweza pia kuchemsha maharage akayafreeze akauzia watu wasio na nafasi ya kuchemsha
Pia freezed mboga mboga,
Na bila kusahau maji ya kandoro
tena kama unapenda privacy na hutak mazoea ya hovyo hovyo hii biashara ni kelo,ingawa inaleta sent za mboga na mahitaj madogo madogo ya kalamu na daftar za watoto shuleKero ya kuuza barafu ni watu kuzoea nyumba yako
Sana tu,tena kama mazingira yanaruhusu atafute kijana awe anamuuzia barafu kwa kuzunguka sehemu mbalimbali mjini kwa kuziweka kwenye deli kubwa akitumia baiskeli,mimi ninafanya hivyo pesa ya kula inapatikana hapo kwa asilimia 90Wakuu, nimejibana nimepata shilingi 1million mke wangu amenishauri nimemnunulie friji kuanzia laki 5-8 pesa itakayo baki laki 2 afanye kama mtaji wa kuuza barafu, Ice cream na juice. Naomba ushauri wenu je hii biashara inaweza inaweza zaa matunda na kurudisha hiyo pesa? Natanguliza shukrani.
Kwa sent za mboga na nauli ya mama mkwe kurudi nyumbani akija kuwasalimia πtena kama unapenda privacy na hutak mazoea ya hovyo hovyo hii biashara ni kelo,ingawa inaleta sent za mboga na mahitaj madogo madogo ya kalamu na daftar za watoto shule
πππ hapo unakua huumizi kichwa,ila kama una mfanyakaz wa ndani mzur mzuri hapo wahuni ndo wanapata chance ya kuja kumtongoza ukiwa haupo home wao wanakuja kubembeleza na akiingia king anaweza akaliwa ndani kwako humo humo halaf njemba inachomoka na Barafu huku shat kaweka begani watu wanajua jmaa alienda kununua kumbeπππKwa sent za mboga na nauli ya mama mkwe kurudi nyumbani akija kuwasalimia π
ππππππππ hapo unakua huumizi kichwa,ila kama una mfanyakaz wa ndani mzur mzuri hapo wahuni ndo wanapata chance ya kuja kumtongoza ukiwa haupo home wao wanakuja kubembeleza na akiingia king anaweza akaliwa ndani kwako humo humo halaf njemba inachomoka na Barafu huku shat kaweka begani watu wanajua jmaa alienda kununua kumbeπππ
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo unakua huumizi kichwa,ila kama una mfanyakaz wa ndani mzur mzuri hapo wahuni ndo wanapata chance ya kuja kumtongoza ukiwa haupo home wao wanakuja kubembeleza na akiingia king anaweza akaliwa ndani kwako humo humo halaf njemba inachomoka na Barafu huku shat kaweka begani watu wanajua jmaa alienda kununua kumbe[emoji16][emoji16][emoji16]
Ajiandae pia kubadilishwa jina na kuitwa Mama barafu[emoji23]Kero ya kuuza barafu ni watu kuzoea nyumba yako