INAUZWA Friji milango miwili jipya linauzwa

INAUZWA Friji milango miwili jipya linauzwa

Friji lina miezi minne tangu ulinunue! Sababu ya kuliuza unataka uhamie kwenye nyumba yako! Hii sababu hukujua kama utahamia kwenye nyumba yako na hivyo hukupaswa ulinunue kwanza? Au unauza baada ya kuliona linakasoro Fulani ndogo? Je inaristi Yake ? Wewe uliinunua bei gani?Haina tatizo? We upo wapi?
 
Limetumika miez minne tu sabb ya kuuza nahitaj kuhamia kwny Banda langu ambalo sijaweka umeme niko DSM..Bei ni sawa na bure sh 300k tu.
NB: bei haipungui.
Kwa anayehtj Karbu PM
0a6b6f36cc786a1f7ff6c41bb454bd59.jpg
bd610bf856cba9adf4944aee73f8d556.jpg
67bc51a5b77262bc2722e2fd6b9c1a6a.jpg
72cd642857f70078e428bdb39a943472.jpg
Ni HOME BASE:

Send from Nokia batani
Bei gani ?
 
Back
Top Bottom