Wivu mkuuGawa bure kwa wahitaki. Siko kila kitu ni Cha kuuuza.
Gawa bure kwa wahitaki. Siko kila kitu ni Cha kuuuza.
mh..Zote hizo ni bidhaa chakavu ,
ukimpata wa laki moja chukua na ukimbie usiangalie nyuma
Hicho kitanda 70,000 mfuko wa SHATI,Nahama mkoa nauza chap hivyo kwa mwenye uhitaji
KITANDA CHA CHUMA 5X6 NA CHAGA ZAKE BEI 140,000 TU
FRIJI KALI LA MTUMBA MADE IN SOUTH KOREA BEI NI 180,000 MASHINE YAKE HAIJAWAHI KUGUSWA WALA KUONGEZWA GEZI NDANI YA DK 20 TU BARAFU UTALIONA
NAPATIKANA TEMEKE DAR ES SALAAM
MAWASILIANO 0678096545
View attachment 2655983
View attachment 2655984View attachment 2655985View attachment 2655986