astalavista
Senior Member
- Jul 7, 2014
- 156
- 160
Wa niniNgoja waje kukupa muongozo
Wa tangazo/biashara lako/yakoWa nini
Nipe 130 nimetingwalaki huchukui,ipo mfuko wa shati
Mkuu kila lenye heri kwenye biashara yako hii. Kimfaacho mtu chake..wenyewe walisema.Nipe 130 nimetingwa
Shukrani mkuuMkuu kila lenye heri kwenye biashara yako hii. Kimfaacho mtu chake..wenyewe walisema.
oooh kumbe upo mbezi mwisho nimeona mkuu, Sawa sasa mimi naomba 120K tufanye biasharaUpo mkoa gani niichangamkie kwa bei ya punguzo si unajua hii siyo kipindi cha JK?
Nipigieoooh kumbe upo mbezi mwisho nimeona mkuu, Sawa sasa mimi naomba 120K tufanye biashara
Jamani acha kuloga watu wameishapenda wewe sasa nini?!!Na hiyo kutu hapo juu ni bei gani?
BEI imezingatia yote hayo.Na hiyo kutu hapo juu ni bei gani?
Mungu anakuona aisee...duh 🙂Na hiyo kutu hapo juu ni bei gani?
Na juu hapo unaweka kitambaa na maua ya mchina yale ya Kariakoo.Jamani acha kuloga watu wameishapenda wewe sasa nini?!!
Mimi niliishaipenda lakini baada ya Comment yako nimerudisha jeshi lotew nyuma, nimeanagalia vizuri na kuona unachokisema.Na juu hapo unaweka kitambaa na maua ya mchina yale ya Kariakoo.
Mimi niliishaipenda lakini baada ya Comment yako nimerudisha jeshi lotew nyuma, nimeanagalia vizuri na kuona unachokisema.
SahihiNa juu hapo unaweka kitambaa na maua ya mchina yale ya Kariakoo.