Friji

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Jamaa alinunua friji jipya, akawaza namna ya kuondokanana lile la zamani basi hatimae akaliweka nje ya nyumba yake na kuandika kibao ANAE TAKA KUCHUKUA ACHUKUE BURE. Watuwakawa wanapita wanafungua lakini kila mtu akawa anaogopa kuchukua maana hakuna aliyeamini mtu anaweza akagawa friji zima bure. Baada ya kuona wiki imepita halijachukuliwa, akaandika FRIJI LINAUZWA LAKI 3,usiku uleule likaibiwa.
 
Hii maana yake nini?

Wachambuzi karibuni
 
Na mwenye uzi keshafariki tayri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…