From Adv. Peter Kibatala

Asante kwa kiswahili kilichonyooka
 

Umeogopa ndio maana povu lime kujua[emoji3062]
 
Huu ni wivu wa mapenzi hahahahaaha
Next time mwambieni uyo Kibatala misamiati ya kisheria atumie uko mahakamani na anapokuwa anaongea na wanasheria wake huo ushamba wa kutumia misamiati ya kisheria kwetu tunamuona mshamba tu asiyejua lugha aacha Mara moja
 
Samia anatakiwa ajitofautishe na mwenda zake.
si alisema Ana ngozi ngumu.
Mwambieni pesa inauma
 
Nenda shule bado muda upo sio unakimbilia kulaumu,huna hata mpenzi aliyesoma akusaidie kutafsiri?

Lugha 2 rasmi za taifa la Tz
1.Kiswahili
2.English
Rudi shule pia na wewe. Kwa kuona kwako hicho ni kiingereza?
Nenda shule bado muda upo sio unakimbilia kulaumu,huna hata mpenzi aliyesoma akusaidie kutafsiri?

Lugha 2 rasmi za taifa la Tz
1.Kiswahili
2.English
In short na yeye kazidi. Likingereza gumu kama nini!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…