Mi nadhani wadau wote hapo juu mmejaribu kueleza japo very shallow wa namna hii kitu ilivyo.
Ukifuatilia mjadala utaona ni namna gani watu wangependa kufahaamu hizi concept za Analog na Digital. Kwa tafsiri ya kikwetu ni kama kuondokana na mfumo wa zamani na kuingia mfumo mpya na bora wa kisasa, lakin hapa tabu ya sisi ni about the a,b,c, ya hii move. Nini maana yake, atahri zake and why now??
Lakini jambo lingine ambalo mdau mwingine kaeleze ni kuhusu uwajibikaji ama nafasi ya TUME ( TCRA ) hawa jamaa wa kusajili chip za simu. Inakuwaje? Mbona hawawaelezi watazania, wanaona gharama hizi?? Ina maana hakuna tena FTA services katika mawasiliano? Umasikin hauwezi kwisha maana ni wachache tu wataweza kupata habari na kujua changamoto za kimaendeleo, TCRA najua wanafahamu kwamba upashanaji wa habari is more of starehe but more important in powerful tool ya kuequip wate kupata taaluma na taaarifa za kimaendeleo--ebu semeni kidogo tujue mpo!
Nasema hivi kwa sababu..tayari STARTIMES/TBC wanatoza 6,000/mwezi kurun king'amuzi chao, ATN ni 7,500 na wengine waliopata ni hawa joint venture ya ITV na STAR TV ( Bado hatujui itakuwa gharama gani but lets put 6,000) Mtanzania wa kawaida atahitaji kuwa na around 24,000 kupata channel zote anazozihitaji....Hatuwezi kuwa nchi ya namna hivyo. TCRA kazi yenu ninini jamani, nyie si ni kama EWURA and agency/ama mamlaka zingine kama TFDA?? sasa mbona HAMTETEI walaji wa huduma zenu?:A S angry::tape: