ulimbo lunopo
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 243
- 39
heshima kwenu wakubwa kwa wadogo! Nimegundua nilikua napoteza mda wangu mwing kudeal na fb while gaining less!! Niko wa jf!! Napenda pia kuwashaur vijana wenzangu wajiunge na jf!!
Karibu sana Mkuu, lakini hata humu wenye tabia za ki-FB, FB wapo wengi sana tu.
washauri na wazee pia waje huku!heshima kwenu wakubwa kwa wadogo! Nimegundua nilikua napoteza mda wangu mwing kudeal na fb while gaining less!! Niko wa jf!! Napenda pia kuwashaur vijana wenzangu wajiunge na jf!!