From h.e.s.l.b to wizara ya elimu

mkisyeli

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2013
Posts
260
Reaction score
76
habari hapa nilipo nipo na zaidi ya wanafunzi 40 ambao wanazitambua haki zao za msingi na madai maana tumechoshwa na majibu ya kijinga na ya kiupuuzi kutoka kwa bi.dada anayejiita eti meneja wa bodi sasa hii ni movement ya hiari na aman kwa anayetambua haki yake ya kupata elimu na mkopo
Tupo njian kwenda wizarani sala na maombi pia yanahitajika
 
nawaunga mkono sana ingawa mimi nipo mkoani mtujuze yatakayojiri tafadhali
 
safi sana kaka...!!me nakukubali sana mwanaharakati endelea kutujuza ukifika huko tujue tunafanya kitu gani...!??
 
mungu wabariki wanaotaka kubarikiwa.....emen
 
aminia wadau for more info jus check me 0713724722
 
sasa mbona hatujuzani ni nini kinaendelea na ni namana gani tunaweza kuongeza nguvu na mmefikia wap wapendwa wanaharakati....
 
Toa habari inayoeleweka mbona mkatomkatao sana
 
Mungu nanyi watu wangu, natamani kuwepo hapo but mission hii ntaifanya tar 6 oktoba maana najichanga ili nipate ada na kidogo cha kuanzia maisha magumu chuoni!
 
Hata kuwepo na jkt nchi itapata wazalishaji mali watumwa na sio wazalendo.....namba ya mlugo hii anaeweza mcheki 0754315922 na nimeipata kwa moja ya madiwani wa ccm txo itakuwa poa iwapo tutachukua hatua na sio kuishia kulaumu na kukata tamaa...tushauriane wadau hali si shwari ndg zng
 
huku kunamatumaini kwa kweli wametuambia tukachukue majibu yetu baada ya siku mbili kuanzia leo so hope mambo yawe sawa@all wakuu
 
Naamini tulioko mikoani tuko pamoja nanyi kwa kila hatua mnayopiga.Tukumbuke ya kuwa haki siku zote haiombwi bali hutafutwa kwa bidii na kupambana.
Tunahitaji ifike mahali mtoto wa masikini aheshimiwe na kutambulika daima na si kama wanavyotufanyia hawa 'wahuni' wachache.
Mungu ibariki Tanzania Mungu wabariki wapiganaji wote.
Ameen!Ameen!Ameen!
 

Naamini mko pamoja na shujaaa matiko hapo.Endeleeni kukaza mwanzo mwisho hadi tupate haki zetu.
Be blessed all
With regards.
 
huku kunamatumaini kwa kweli wametuambia tukachukue majibu yetu baada ya siku mbili kuanzia leo so hope mambo yawe sawa@all wakuu

Majibu mukachukue wapi Bodi au wizarani na majibu hayo ni kwa wote au ni nyinyi 2 mlioenda leo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…