Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Kama bado unaamini kuwa Manchester United bado ni timu kubwa Barani Ulaya basi umepotoka.
Man UTD si klabu kubwa tena na wala sio Man UTD ya kipindi kile iliokuwa inavitisha vilabu pinzani kabla na baada mechi.
Kwa kukuthibitishia hilo, Man UTD kwa mwezi uliopita yaani mwezi Oktoba imefunga goli moja tu katika michezo yake ya Ligi kuu ya Uingereza.
Taarifa hii ni mbaya na haipaswi kumwambia ama kumfikishia shabiki yeyote yule wa klabu hii maana ni habari mbaya na yakusikitisha.
From Hero to Zero…Man UTD ilifunga goli moja tu katika Ligi ya Uingereza mwezi Oktoba…
Man UTD si klabu kubwa tena na wala sio Man UTD ya kipindi kile iliokuwa inavitisha vilabu pinzani kabla na baada mechi.
Kwa kukuthibitishia hilo, Man UTD kwa mwezi uliopita yaani mwezi Oktoba imefunga goli moja tu katika michezo yake ya Ligi kuu ya Uingereza.
Taarifa hii ni mbaya na haipaswi kumwambia ama kumfikishia shabiki yeyote yule wa klabu hii maana ni habari mbaya na yakusikitisha.
From Hero to Zero…Man UTD ilifunga goli moja tu katika Ligi ya Uingereza mwezi Oktoba…