Unapomtegemea "mzee" wa miaka 33 kama main striker wako lije jua au mvua, tegemea wanachokipata Man Utd. Mourinho kibri itamponza. Weka bench Zlatan, Pogba na chezesha proven talents ulizozikuta. Kwa rate hii, Moyes anaonekana alikuwa genius na labda mtaalamu Giggs angefanya wonders